Mrembo wa Tanzania kwenye taji la Miss Universe na Vazi la jioni..Pichaz

Leo nakukutanisha na warembo 7 wanaowakilisha nchi mbalimbali za Afrika kwenye stage ya Miss Universe zitakazofanyika Dec.20 katika ukumbi wa Planet Hollywood Las Vegas Resort & Casino katika jiji la Las Vegas Marekani. Warembo hao wanaonekana wakiwa katika vazi la usiku akiwemo mrembo anayeiwakilisha Tanzania Lorraine Marriot. Whitney Shikongo-Angola Ornella Obone-Gabon Hilda Frimpong– Ghana Sheetal Khadun- Mauritius Debbie Collins- Nigeria Refilwe Mthimunye- Afrika Kusini Lorraine Marriot- Tanzania...

Jux aelezea jinsi alivyoandikiwa One More Night na Walter Chilambo

Sasa hivi kitu kipya kutoka kwa Jux ni audio na video ya One More Night. Jux akiongea na millardayo.com amesema kwamba ameamua kuimba ngoma ya mapenzi kwa idea ambayo hajawai kutumia hapo zamani. Akielezea kuhusu alichoimba kwenye wimbo huo alisema hivi, “Mimi nimekutana na msichana ninaye muimbia mara moja tu. Sasa baada ya hapo msichana hakutaka tena uhusiano na mimi, lakini mimi natamani tuendelea au itokee One More Night kama ile ya mwanzo” Kama ulikua hujui ni kwamba wimbo huu Jux ameandikiwa na Walter Chilambo, “Walter ameandika wimbo huu na mimi nilitaka kufanya kitu cha tofauti kabisa, kama kawaida tumekuta beat...

 

Featured Posts

Featured Posts

Featured Posts